WAKULIMA WA PAMBA WAKUMBANA NA VIKWAZO, JAPO ZAO HILO KUWA TEGEMEO NCHINI

601875_386576628119984_723158443_nLicha ya zao la pamba kuwa tegemeo kubwa katika kukuza pato la taifa bado wakulima wa zao hilo kwa mikoa kumi na tano na wilaya arobaini na sita za Tanzania bara wameendelea kukumbana na vikwazo wakati wa uzalishaji, ambavyo ni pamoja na mfumo mbovu wa upatikanaji wa pembejeo, kupungua kwa rutuba katika ardhi pamoja na mashambulizi ya wadudu ambapo mkoa wa geita imeazimia kuliinua zao hilo ili wakulima waweze kulima kilimo chenye

SOURCE: ITV DAIMA

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post