Unknown Unknown Author
Title: PICHA ZA HALIMA MDEE NA WOLPER WAKIFANYA MAZOEZI YA NGUMI, SIKU CHACHE KABLA HAWAJAKUTANA ULINGONI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mbunge wa Kawe (Chandema), Halima Mdee ameanza maandalizi yake ya pambano la ngumi dhidi ya staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper. Pambano...

clip_image001Mbunge wa Kawe (Chandema), Halima Mdee ameanza maandalizi yake ya pambano la ngumi dhidi ya staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper.clip_image001[8]Pambano la wakali hao litafanyika Julai 7, siku ya Sabasaba katika Tamasha la Matumaini kwenye Uwanja we Taifa jijini Dar es Salaam.clip_image001[10]Mdee amekuwa akiendelea na mazoezi yak echini ya Mbunge wa CCM, Idd Azzan ambaye pia siku hiyo atapanda ulingoni kutoana jasho na mkali wa Bongo Movie Jacob Steven ‘JB’clip_image001[12]Katika tamasha hilo mwaka jana Wolper alionyesha uwezo kuliko Wema Sepetu katika pambano lao lililosisimua.clip_image001[14]Lakini Mdee ametamba kumpoteza Wolper katika pambano lao hilo la Julai 7. Mdee anaendelea na mazoezi mjini Dodoma, wakati Wolper anaendelea na mazoezi jijini Dar es Salaam.

CHANZO: SALEHJEMBE BLOG

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top