BETTY NA BOLT WANASWA NA CAMERA ZA BBA TENA WAKIVUNJA AMRI YA SITA.

clip_image001BBA video imetoa video nyingine tena, ya Betty na Bolt wakifanya ngono bafuni kwenye bathtub. Hawa ni Waafrika, TV show inafanyika Afrika, watazamaji asilimia kubwa ni Waafrika, na ni show inayoongoza kwa umaarufu Afrika. Lakini cha ajabu, mastaa wetu wakipiga picha hata na vazi la kuogelea “swimsuit” hatukawii kupiga kelele kwamba si “maadili yetu.” Ni kweli tunajali maadili hivyo au unafiki tu? Kama tunajali maadili kiasi hicho, kwanini show kama BBA ambayo imegeuka kama porn show inaongoza kwa umaarufu Afrika?

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post