Vitanda katika Zahanati ya Ipinda, iliyopo Mwanjelwa jijini Mbeya vikiwa vimebaki wazi baada ya wagonjwa waliokuwa wamevilalia kuviacha kwa taharuki na kukimbia baada ya bomu la machozi lililopingwa na polisi kutua ndani ya wodi wakati wa vurugu za machinga na polisi mjini Mbeya.
Tags
MBEYA