Wagonjwa wakimbia vitanda vyao-Mbeya

image

Vitanda katika  Zahanati ya Ipinda, iliyopo Mwanjelwa jijini Mbeya vikiwa vimebaki wazi baada ya wagonjwa waliokuwa wamevilalia kuviacha kwa taharuki na  kukimbia  baada ya bomu la machozi lililopingwa na  polisi kutua ndani ya wodi wakati wa vurugu za machinga na polisi mjini Mbeya.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post