WAANDAMANAJI WA MJI WA SAO PAULO WAINGIA BARABARANI NA SILAHA ZA JADI, CHEKI HAPA

clip_image001Hawa ni Waandamanaji mjini Sao Paulo, Brazil walipoamua kuingia mitaani... na mikuki kupinga maisha magumu yanayo wakabili huku serikali ikitumia fedha nyingi kwa ajili ya kujenga viwanja maalumu kwa ajili ya Kombe la Dunia mwakani.

Chukua picha Hao ni Sao Paulo wameingia na Silaha bara barani na Still Hawaja chukulia nguvu kama tulivyozoe kuona Hapa Bongo, Unamaoni gani juu ya Hili?

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post