HILI NDILO GARI LA BABY MADAHA ALILOPEWA NA CANDY n CANDY RECORD LABEL

clip_image002Mwanamuziki na muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Baby Madaha yuko nchini Kenya na tayari ameshakabidhiwa gari yake mpya aina ya Audi TT aliyopewa na Record Label ya Candy n Candy huko Kenya baada ya kusaini mkataba wa kufanya kazi na kampuni hiyo …clip_image002[4]clip_image002[8]

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post