Nafuu hiyo ya Bei ilitanganzwa jana na mkurugenzi mkuu wa EWURA, Felix Ngalamgosi, akisema bei hizo za kikomoza bidhaa ya mafuta zitaanza kutumika leo nchi nzima.
Amesema bei za jumla na reja reja kwa aina zote za mafuta zimeshuka ikilinganishwa na bei katika toleo lililopita ambapo Petroli imepungua kwa shilingi 187 kwa lita sawa na asilimia 9.56 dizeli imepungua kwa sh. 139 kwa lita sawa na asilimia 7.53 na mafuta ya taa yamepungua kwa sh. 177 kwa lita sawa na asilimia 9.64.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.