Kuelekea maadhimisho ya Tamasha maalum la kumkumbuka mfalme wa FREE STYLE Tanzania Marehemu Albert Mangwe, baadhi ya maeneo ya Mjini Morogoro tayari kishanuka. Katika tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika siku ya TH 28 may, 2014 pale Samaki samaki Kihonda.
Akizungumza na mtupa taarifa hizi, Mratibu mtendaji wa tamasha hilo Kareem Omary KO amesema, maandalizi yameshakamilika na wanawaomba wadau kujitokeza kuonesha LOVE ya pamoja.
Kareem amesema walizungumza na familia na kwa pamoja wamebariki tukio hilo ambalo kabla ya ukumbini, litatanguliwa na ibada mbili ya Kanisani na nyumbani.
Baadhi ya wadau wa burudani mkoani Morogoro wamezungumza na kuunga mkono tukio hilo.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.