Kaburi la marehemu Amina Ngaruma aliyezikwa leo maeneo ya Machimbo, Mnarani - Dar es salaam
Mume wa marehemu Amina Ngaluma akisoma dua kwa mkewe, ambae amezikwa leo hii katika maeneo ya Machimbo, Mnarani - Dar es salaam
Mwili wa marehemu Amina Ngaluma ukiingizwa kaburini, amezikwa makaburi ya Machimbo Mnarani Dar es salaam.
Hapa ndipo aliposwaliwa marehemu Amina Ngaluma, waombelezaji wakitoka msikitini tayari kwa kwenda kwenye maziko eneo la Machimbo Mnarani Jijini Dar es Salaam
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.