Kwenye Mechi hii, Bao za Mbeya City zilifungwa na Paul Nonga, Mwegane Yeya na Themi Felix.
Hapo Jana, Timu ya Zanzibar, Polisi, ilichapwa Bao 3-0 na Wenyeji Al-Merreikh ya Sudan.
Kufuatia kujitoa kwa Timu 5 katika Dakika za mwisho, CECAFA iliamua kubadilisha Makundi na Ratiba ya Mashindano haya.
Kwa mujibu wa Afisa Habari wa CECAFA, Rogers Mulindwa, Timu zilizojitoa ni pamoja na Wageni Waalikwa maalum, Klabu za Egypt Al Masry na Arab Contractors.
Nyingine ni Elman ya Somalia na Klabu ya Sudan, Hey Al Arab.
Ijumaa Mei 23
Victoria University (Uganda) 1 - 0 Malakia (South Sudan)
Al-Merreikh [Sudan] 3 - 0 Police [Zanzibar]
Al-Shandy [Sudan] 2 - 1 Dkhill [Djibouti]
Jumamosi Mei 24
Mbeya City [Tanzania] 3 - Academie Tchite [Burundi] 2
AFC Leopards [Kenya] v Etincelles [Rwanda]
Hali hiyo imefanya Timu kubakia 11 na Makundi kuwekwa kuwa Matatu.
-Polisi [Zanzibar]
-Victoria University Uganda]
-Malakia [South Sudan]
-Al Merreikh [Sdan]
KUNDI B
-Mbeya City [Tanzania Bara]
-AFC Leopards [Kenya]
-Academie Tchite [Burundi]
-Enticelles [Rwanda]
KUNDI C
-Defence [Ethiopia]
-Dkhill FC [Djibouti]
-Al Shandy [Sudan]
>>Soka In Bongo
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.